Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli usemwe,ushindi wa Taifa Stars ni Aibu Kwa Chadema Ambao walikuwa Wanaiombea ifunge eti wanamkomoa SSH 😆😆Taifa Stars leo inashuka dimbani kutupa karata yake ya pili leo jumanne saa moja jioni kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON 2025 dhidi ya Guinea baada ya kutoka sare na Ethiopia nyumbani.
Dakika,11 milango bado ni migumu kwa timu zote hadi sasa. Licha timu zote mbili zikioneka kushambuliana
Dakika, 20 ngoma bado ngumu timu zote zinashambuliana kwa zamu
Dakika, 30 mechi imekuwa ya kasi sana lakini si Guinea wala Taifa Stars aliyepata goli.
Dakika, 40 Taifa Stars wamekuwa na utulivu katika kukaba ili bado utulivu eneo la mwisho unakosekana
Dakika 45 za kipindi cha kwanza Guinea 0- 0 Taifa Stars
Kipindi cha pili kimenza....
Ukweli usemwe,ushindi wa Taifa Stars ni Aibu Kwa Chadema Ambao walikuwa Wanaiombea ifunge eti wanamkomoa SSH 😆😆
Bahati mbaya au nzuri Wazanzibar 2 ndio wamepeleka maumivu Kwa Wafuasi wa Chadema.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C_vvXWKoJ0H/?igsh=ZW5zMjcyYjlveXN2
Yani watanzania kweli tuna midomo...hahahahaWaTaanza oh plan ya mwalimu imefanya kazi ooh nyoko fyoko
Wataanza na kumsifu mchezaji mmoja mmoja kubomoa muunganiko
Hao waidadi watakua wanafyonya tuu muda huuMzizi wa bilion 2? hamna mtu mle
Mimi nimekuwa nasema ni wakati sasa wa kuyafufua mashindao ya CECAFA, uwekwe mzigo wa kutosha na tufanye juhudi za makusudi kuyapa hadhi maana quality sasa hivi ipo.Rwanda kutoka 0-0 na Kina Osmeh wamejitahidi sana.
Kenya kuwachapa Namibia nyumbani kwao wametisha sana
Leo Chama na Musonda wanaanza 1st Eleven against Sierra LeoneHujumaaa
Kuna muda wakipandisha madhambulizi anawakata
Timu ya taifa bado mna I Simba na YangaNyanda huyu hapa...
View attachment 3092741
Huu ni ukweli unaouma👇👇Unawazaga Siasa kila wakati. Kwako kila kitu ni CHADEMA.
Pole Sana Mkuu, mechi bado nyingi jaribu tena!Tanzania imenichania mkeka wangu nimeikosa laki 4 hivi hivi inaniuma😥😥😥😥
Kaka habari yako...karibu jamvini..Timu ya taifa bado mna I Simba na Yanga
Mi 5 tena Morocco na Mgunda, ongezeni uchawi.Taifa Stars leo inashuka dimbani kutupa karata yake ya pili leo jumanne saa moja jioni kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON 2025 dhidi ya Guinea baada ya kutoka sare na Ethiopia nyumbani.
Dakika,11 milango bado ni migumu kwa timu zote hadi sasa. Licha timu zote mbili zikioneka kushambuliana
Dakika, 20 ngoma bado ngumu timu zote zinashambuliana kwa zamu
Dakika, 30 mechi imekuwa ya kasi sana lakini si Guinea wala Taifa Stars aliyepata goli.
Dakika, 40 Taifa Stars wamekuwa na utulivu katika kukaba ili bado utulivu eneo la mwisho unakosekana
Dakika 45 za kipindi cha kwanza Guinea 0- 0 Taifa Stars
Kipindi cha pili kimenza....