FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium

FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium

Nimelisikiliza likocha letu apa linahojiwa,nalinamwaga ung'eng'e kama linaongea kitumbatu tu 😂
 
Taifa Stars leo inashuka dimbani kutupa karata yake ya pili leo jumanne saa moja jioni kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON 2025 dhidi ya Guinea baada ya kutoka sare na Ethiopia nyumbani.

Dakika,11 milango bado ni migumu kwa timu zote hadi sasa. Licha timu zote mbili zikioneka kushambuliana

Dakika, 20 ngoma bado ngumu timu zote zinashambuliana kwa zamu

Dakika, 30 mechi imekuwa ya kasi sana lakini si Guinea wala Taifa Stars aliyepata goli.

Dakika, 40 Taifa Stars wamekuwa na utulivu katika kukaba ili bado utulivu eneo la mwisho unakosekana

Dakika 45 za kipindi cha kwanza Guinea 0- 0 Taifa Stars

Kipindi cha pili kimenza....
Ukweli usemwe,ushindi wa Taifa Stars ni Aibu Kwa Chadema Ambao walikuwa Wanaiombea ifunge eti wanamkomoa SSH 😆😆

Bahati mbaya au nzuri Wazanzibar 2 ndio wamepeleka maumivu Kwa Wafuasi wa Chadema.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C_vvXWKoJ0H/?igsh=ZW5zMjcyYjlveXN2
 
Ethiopia ndio ilikuwa wachovu wetu tungewafunga tungekuwa na point 6
 
Nyanda huyu hapa...
Screenshot_20240910-213224_WhatsApp.jpg
 
Nini kimemtokea Job, nimeona clip katolewa mapema yupo nje anahema kama anataka kukata moto?
 
Rwanda kutoka 0-0 na Kina Osmeh wamejitahidi sana.

Kenya kuwachapa Namibia nyumbani kwao wametisha sana
Mimi nimekuwa nasema ni wakati sasa wa kuyafufua mashindao ya CECAFA, uwekwe mzigo wa kutosha na tufanye juhudi za makusudi kuyapa hadhi maana quality sasa hivi ipo.
 
Taifa Stars leo inashuka dimbani kutupa karata yake ya pili leo jumanne saa moja jioni kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya AFCON 2025 dhidi ya Guinea baada ya kutoka sare na Ethiopia nyumbani.

Dakika,11 milango bado ni migumu kwa timu zote hadi sasa. Licha timu zote mbili zikioneka kushambuliana

Dakika, 20 ngoma bado ngumu timu zote zinashambuliana kwa zamu

Dakika, 30 mechi imekuwa ya kasi sana lakini si Guinea wala Taifa Stars aliyepata goli.

Dakika, 40 Taifa Stars wamekuwa na utulivu katika kukaba ili bado utulivu eneo la mwisho unakosekana

Dakika 45 za kipindi cha kwanza Guinea 0- 0 Taifa Stars

Kipindi cha pili kimenza....
Mi 5 tena Morocco na Mgunda, ongezeni uchawi.
 
Back
Top Bottom