MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Mudathir Yahya no bonge moja la mchezaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah haina ubishi...ni mchapa kazi...Mudathir Yahya no bonge moja la mchezaji
Kama umecheki game ya leo, huwezi kumtoa anastahili pongeziLabda bacca mtoe mwamnyeto hapo..
Mmeanza ujingaYanga imeokoa taifa 💚💛
Kolo nyamazaHi ni upuuzi wa uelewa
Tupo wa 2 nyuma ya DRCTunaomba msimamo wa kundi
HujumaaaDakika gani haziishi?
Sawa Mama KubwaAcha ujinga🤩🤩
Tanzania imenichania mkeka wangu nimeikosa laki 4 hivi hivi inaniuma😥😥😥😥Huko tulinde tu na kutumia counter attack , mabeki 5, Nondo,Job, Tshabalala, Baka na Mwaikenda , tukifunguka tumeliwa kichwa.
Uwezo wa kushindana na Guinea hatuna kama Ethiopia tu tuliwashindwa.
Hawa makocha wa ndondo wa tff ya hovyo washatucost hadi sasa, hii Afcon tukitoboa ni bahati tu timu uwezo haina.
Haya wale wachambuzi mbuzi...kesho watageuka...
zenjiYanga imeokoa taifa 💚💛
Mi kwakweli napenda wanavyoshirikiana kwanzia mabeki mpaka kipa shuguli iko baada ya hapoKongole kwa kipa nambari moko kuzuia michomo....
🤝🤝❤️Yah haina ubishi...ni mchapa kazi...