Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Alipigwa kabali na jitu la miraba 4...labda kutoka kwake na Tanzania imepona huwezi jua...Nini kimemtokea Job, nimeona clip katolewa mapema yupo nje anahema kama anataka kukata moto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipigwa kabali na jitu la miraba 4...labda kutoka kwake na Tanzania imepona huwezi jua...Nini kimemtokea Job, nimeona clip katolewa mapema yupo nje anahema kama anataka kukata moto?
Wamefanya niniTVE ni wapumbavu sana
Wamefanya niniTVE ni wapumbavu sana
Ukiona habari njema inakuumiza ujue umekuwa.....Hua nataman ipigwe Sana yan, maana ikishinda badala machawa waongee mpira wanamtukuza mama kizimkazi, inageuka kua timu ya CCM
Kiukweli Leo sitalala usingiz imeshinda moja ya timu NINAZOZICHUKIA zaidi hapa duniani
Haina ujema wowote kwangu hiiUkiona habari njema inakuumiza ujue umekuwa.....
Game Muhimu hawaonyeshi,Wamefanya nini
Nakubaliana na weweKumfananisha Feisal na de bruyne, ni sawa na kuija mbia mbingu.
Muda wote Lina kurudia
Kwa sababu una chuki binafsi na 👇👇Hua nataman ipigwe Sana yan, maana ikishinda badala machawa waongee mpira wanamtukuza mama kizimkazi, inageuka kua timu ya CCM
Kiukweli Leo sitalala usingiz imeshinda moja ya timu NINAZOZICHUKIA zaidi hapa duniani