Laiti ungaliona.Wanafanya mashambulizi?
Nao ni wale wale hakuna kituTuwaombee guinea washinde Kwa kishindo kikubwa kabisa
Dismas vipiKati ndio tatizo
Bado, Tumekosa goli.Lwa maelezo ninayopata hapa sasa hivi tunatunguliwa
Acha Roho Mbaya wewe jamaa. 😀😀😀 Wakishinda "utasikia Tunamshukuru Mama kwa ushindi kwani bila yeye tusingekuwa kushinda"Nakazia kila la kheri Guinea
Anacheza Kama Beki 🤣🤣Mzize vipi hajagusa mpira?
Mliokuwa goli ni nyie au sisi Guinea? Tumewashikisha Ukuta nyie watoto wa Mama Kizimkazi. Tunawapelekea moto, kipa wetu yupo likizo.Bado, Tumekosa goli.
Umekosekana Muunganiko
🥺🥺Anacheza Kama Beki 🤣🤣