Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Game zetu ziwe zinapigwa Zenji tu.Mm nilijua tutashinda tuu ugenini..tatizo nyumbani ngenga nyingi...πππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Game zetu ziwe zinapigwa Zenji tu.Mm nilijua tutashinda tuu ugenini..tatizo nyumbani ngenga nyingi...πππππππ
Kabisa ndugu yangu...huo uwanja wa Taifa umeshachafuliwa na majini...Game zetu ziwe zinapigwa Zenji tu.
Acha ujingaπ€©π€©Tunapaswa kuwashukuru sana Wachezaji wa Timu ya Yanga kwa kucheza kwa uzalendo na kuzuia kufungwa kwa Timu ya Taifa
Hakika Mabeki wa Taifa Stars yaani Bakka, Mwamnyeto na Dickson Job wamefanya kazi kubwa sana
Mmeanza Ubaguzi Wa Kijinga π€£π€£Tunapaswa kuwashukuru sana Wachezaji wa Timu ya Yanga kwa kucheza kwa uzalendo na kuzuia kufungwa kwa Timu ya Taifa
Hakika Mabeki wa Taifa Stars yaani Bakka, Mwamnyeto na Dickson Job wamefanya kazi kubwa sana
Angalia usizipasue mkuu kuna maisha baada ya mechiNimeminya mapumpu mpaka basi
Acheni UjingaPongezi ziende kwa Yanga kwa kumlea Mudathir vizuri
Acha ujinga. Hajacheza peke yakeπ€©Pongezi ziende kwa Yanga kwa kumlea Mudathir vizuri
Na mchepuko auMume wangu usiondoke mwenyewe kuja nyumban usije kutekwa
Tunapaswa kuwashukuru sana Wachezaji wa Timu ya Yanga kwa kucheza kwa uzalendo na kuzuia kufungwa kwa Timu ya Taifa
Hakika Mabeki wa Taifa Stars yaani Bakka, Mwamnyeto na Dickson Job wamefanya kazi kubwa sana
Ubaguzi upi?Mmeanza Ubaguzi Wa Kijinga π€£π€£