FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium

FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium

Hua nataman ipigwe Sana yan, maana ikishinda badala machawa waongee mpira wanamtukuza mama kizimkazi, inageuka kua timu ya CCM

Kiukweli Leo sitalala usingiz imeshinda moja ya timu NINAZOZICHUKIA zaidi hapa duniani
kinachoniuma mimi watu wataacha kwa muda kuongelea maswala ya muhimu yanayoendelea nchi kesho
siku nzima ni uchambuzi tu kila kona ya social media hapa tz

naunga mkono hoja yako kwa 100%
 
1. Ibrahim Bacca ni beki mkatili na hazina kubwa sana katika Taifa hili
2. Feisal Salum Feitoto anaweza kucheza soka ulaya na akapambana na akina De Bruyne bila shaka yoyote ile
3. Mudathir Yahya amebadilika sana tangu aliposajiliwa Yanga
4. Yule Kachwele ni striker mzuri sana endapo ataaminiwa zaidi
5. Clement Mzize kama Yanga wanakataa kufanya biashara wakati uwezo wake ni wa kawaida wanamharibia maisha kwa sababu hana maajab yoyote
6. Kipa Ally Salim ndio kipa namba moja wa Stars kwa Sasa basi Simba washauriwe wasimweke benchi sana
7. Hemed Morroco na wenzake waheshimiwe kwani mchezo wa mpira sio rahisi kama tunavyodhania ndio maana mechi vs Ethiopia wengine walikaa kimya
8. Waziri Junior ni striker mzuri lakini hana meno
9. Edwin Balua ni kiungo mzuri lakini ashauriwe kuhusu dhana ya teamwork
10. Stars itafuzu Afcon kwa uwezo wa Allah Inshaallah.
Tunawaandama sana washambuliaji wetu na hasa Mzize. Lakini kijana anafanya mambo mengi makubwa uwanjani ambayo mshabiki kama wewe huwezi kuona. Pia fuatilia timu za Taifa kwenye hizi mechi hao mastraika wa Ulaya wanambwela tuu. Tuwatie moyo hawa akina Balua, Mzize, Salim watafika mbali wana kitu.
 
kinachoniuma mimi watu wataacha kwa muda kuongelea maswala ya muhimu yanayoendelea nchi kesho
siku nzima ni uchambuzi tu kila kona ya social media hapa tz

naunga mkono hoja yako kwa 100%
Vitu serious havipewi airtime, kesho wataanza kumsifia kizimkazi kua kawekeza kwenye michezo
 
Pamoja na kushinda ila wana ya kurekebisha, wakikutana na timu iliyo smart kidogo tunapigwa sana
Kutojiamini ni kwako. Be positive. Timu ya taifa ni nzuri na mpaka sasa imeonyesha uwezo na itasonga mbele.
 
Kumbe nyanda wa Simba Camara hajapangwa leo. Nilishangaa hao kina Mudathir wamefungaje fungaje
 
Back
Top Bottom