Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Ni kawaida sana nyuzi za Simba Sc kuwa saturated kiasi hiki (hata wewe unajua), sisi tumefungwa lakini bado tupo hapa.Kesho tutahakikisha uzi wa Utopolo unafikia 2k kwa vicheko vyetu yani mtalouwaaa
Kwenye uzi wa Yanga kama watafungwa basi hautawaona, ni waoga sana hawa mbwiga[emoji1].
Huwa wanavizia tu, wakifunga ndo wanatoka mafichoni.