Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #321
Baleke ameifunga Ihefu goli 5 ndani ya masaa 72
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ilimgomea, kumbe yenyewe ilitaka kupigwa dakika za semanini hukoAcrobatic imekataa pale
Amekosa tuu mikimbioSawadogo ana mwili mzuri wa mpira
Nakazia@&#&#&₩(!&×&&×*
Simbaaaaaa
#Jiniiii##
Hiyo inaitwa Football facts na usiyoyajuaBaleke ameifunga Ihefu goli 5 ndani ya masaa 72
HT 0 - 0Hawa IHEFU wakipigwa hii game, itakuwa ni ujinga wao
HT 0-0
Huyo jamaaa angeanza ligi mwanzo angekua na magoli 50
Mi nazijua 6 mtibwa 3 ihefu 2[emoji3][emoji3] na moja alifunga mechi yake ya kwanza kuchezaBaleke ana goli ngapi kwenye ligi?
First half kama uliangalia mechi vizuri huwezi kuwa mnafiki,ila kama ni ushabiki upo sahihiMamluki hawanaga urafiki wa kudumu
Jamaa kawa wa moto sana, anazo zaidi yule Mayele atakuwa anatetemeka kama ana homa ya malaria🫣🫣Mi nazijua 5 mtibwa 3 ihefu 2[emoji3][emoji3]
Muamala umekamilika,Salio lako la tigopesa ni............. Imetumwa kutoka unyamaniHT 0 - 0