MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Sijaona timu ya kutoa droo na Wydad hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumapili mayele ataongezaJamaa kawa wa moto sana, anazo zaidi yule Mayele atakuwa anatetemeka kama ana homa ya malaria🫣🫣
Kama nyie mlivyobeba baada ya kutolewa bikra vichakaniMsisahau kutubebea Mchele
IkawajeLeo mpaka mtoe damu,mmejichanganya kuja mbarali salange nyie...
Leo mnafanywa MAVICHAVIDA...
First half ilivyoisha sikutaka kurudi, luckily temeshindaFirst half kama uliangalia mechi vizuri huwezi kuwa mnafiki,ila kama ni ushabiki upo sahihi
Badohawa viwete bado hawajafunga tuh
Yanga wamekariri sana. Halafu bahati nzuri game inapigwa mwezi wa Ramadhan na mganga wao atakuwa amefunga.😆Jichanganyeni tu ila momroge kwanza baleke lasivyo lazima awaweke,hiyo siku mtajuta nawaambia
Ila huyu mwamuzi kwa kumuangalia mechi hizi mbili zilizopita nadhani TFF wamuangalie upya. Yaani wachezaji wa timu mbili wanavutana mashati, yeye anasogea pembeni anaweka mikono nyuma anasubiri zari liishe. Hivyo ndiyo refa anatakiwa afanye kwenye situation kama hizo?
Ihefu tupo pamoja hata hii sare kuna posho yenu
Tulisema kuna namna ihefu itawakera
Pole lazima uumie mumeo kafungwa 2 chapUshindi Kwa hisani ya refa