5 -1 imetokana na Simba kushindwa kumuheshimu Yanga. Kutaka kupishana na Yanga ikamponza hivyo walizidiwa kimbinu.Weka na mfano ya 5 moyaa
Mbafuuuuzaoooooo yaan mnafanya HATA upinzan haupoo tenaa tukiwaona TAIFA tunahisi yuko na Jkt khaaaBaelezee baambie baelewe 😁😂
View attachment 2962562
Kama mkulungwa siwezi kukupinga, game za daby huwaga ni kichefu chefu tu.Naongelea mpira, siongelei kishabiki, kama swala la ushabiki mimi sio shabiki wa Simba. Nachosema Mechi ya Simba na Yanga huwa hazitabiriki. Na huwezi kukuta Simba ilivyocheza leo ndivyo itakayocheza hivyo hivyo dhidi ya Yanga.
Ndio maana nikatoa mfano ile mechi Yanga inafungwa goli 2-0 unataka kusema Simba ilikuwa bora kuliko Yanga?
Mwaka jana Utopolo hawakuliita sahani ya pilau, waliliita kombe.Lile ni kombe ama sahani la pilau?
Mbona huyo ni mwananchi mwenzentu boy.Ila tarehe 20 hautoboi mkuu
Tushinde kwanza tupate double digit hapo tutaanza ku print t-shirtsMkuu hizo ni Sawa na kunywa mtori na chapat...perfect Combo
Wamebakia humu......Hamna kitu tena kwa mandunduka
Tarehe 20 kaka wewe kazi unayo tupishane Tena tarehe 20 😂5 -1 imetokana na Simba kushindwa kumuheshimu Yanga. Kutaka kupishana na Yanga ikamponza hivyo walizidiwa kimbinu.
Tukumbuke ilikuwa kocha mwingine na huyu ni mwingine, na mazingira pia yanaweza kuwa ni tofauti. Ni mechi ipi ya Yanga na Simba iliwahi kutabirika kiuwepesi ukiachana na hiyo 5-1?
Kumbe kakaMbona huyo ni mwananchi mwenzentu boy.
Sawa, hata viongozi wa Uto walitutambia walibeba treble.Kama ngao ya jamii ni kombe basi ikubalike kuwa msimu uliyoisha Yanga ilibeba treble.
Sio kweli.Mwaka jana Utopolo hawakuliita sahani ya pilau, waliliita kombe.
Digo yuko poa sana. Nilimkubali sana kwenye ile Afcon ya U17 ambayo walikua na kina Kabwili, Kibabage, Sopu, Job. Ofcozi ni kweli akipata training nzuri ni kiungo wa kati mzuri sanaHuyo dogo namuelewa tangu yuko Geita huwa ni aggressive hatari sijajua wanangoja Nini kumchukua ila kwa jicho la mpira akipata proper training ni future ya mpira