FT | Ihefu SC 1 - 1 Simba SC | NBC Premier League | Liti stadium | Aprili 13, 2024

Moderator Active Cookie badirisha heading haiitwi Ihefu imebadirika Jina inaitwa Singida Black Stars chini ya Tajiri mifedha Mwigulu Nchemba ndio Mmiliki halali wa Singida Black Stars...
Bado kwenye platform za michezo inaitwa Ihefu.

Hakuna shida, icheze kama Ihefu ili tuipasue vizuri
 
Tutawashangaza watu hata hiyo April 20
 
Makolo lolote baya liwakute, hamna jinsi.
 
Mimi ni Simbaaaaa...
Kila la heri mnyama
Na leo tena yaleyale ya Mashujaa kipigo kuna Jamaa alikua anamsema mtu eti mmegongwa nyumbani mmegongwa ugenini mmerudi nyumbani tena mmegongwa yaan nyinyi ni wa kugongwa gongwa tu
 
Unaijua mechi ya Watani wewe........?........
 
Kwa kikosi hiki tukifungwa hakuna haja ya kufanya hamasa 20th April.

Kocha awe mwepesei kufanya mabadiliko.

Natamani Freddy na Jobe wabadilishane nusu kwa nusu.

Babakar hayupo kikosini kabisa. Anaumwa?

au ndio plan ya 20th April?
Twende tuu tutafika...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…