Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini bado kuna dakika 45, hebu mpira uishe then ndio uje useme.Nilisema 🤣🤣🤣🤣 unaanzaga na kauli za kishujaa mwisho unatepeta mwenyewe.
Mara mia Mgunda kuliko huyuBenchika ni kocha pekee mwenye bahati kuwa Simba tangu Simba ianzishwe 1936 huyu kocha ni hana plan kabisa
ID sio mtu mtu na ID ni vitu vitatu tofautiId za zamani 2017 kurudi nyuma ni watu poa sana ila sisi wengine matusi, ugomvi, umbea ndo umetutawala
Njoo uninong'oneze! Njoo na id yako nimention popote nakuja☺Emu ngoja nije nikunongoneze basi
Wakirudi Ihefu watajilinda ndio tutawapasulia hapo hapo.Subiria vilio leo ni kipigo bila matuta
Atoke Saidoo, FreddySimba guvu moya[emoji1491]
Kibu mkandaji aokoe jahazu
Sawa subiri niku-mentionNjoo uninong'oneze! Njoo na id yako nimention popote nakuja☺
Unachonifurahishaga haujui kukata tamaa 🤣🤣🤣Lakini bado kuna dakika 45, hebu mpira uishe then ndio uje useme.
Nimemwona Benchika nimemwelewa.
Utaona Evelyn
Amuingize Mayele akarupie Goli au SIO?Atoke Saidoo, Freddy
Unamtukanaje mtu mtandaoni? Sijui inakuwaje yaniId za zamani 2017 kurudi nyuma ni watu poa sana ila sisi wengine matusi, ugomvi, umbea ndo umetutawala
Mara mia Mgunda kuliko huyu
Mgunda kamuacha mbali sanaMara mia Mgunda kuliko huyu
Ukikata tamaa ndio mwanzo wa pressure.Unachonifurahishaga haujui kukata tamaa 🤣🤣🤣
Huwa nashangaa piaUnamtukanaje mtu mtandaoni? Sijui inakuwaje yani
Wenyewe wanaita Cyber War mambo ya Mange KimambiUnamtukanaje mtu mtandaoni? Sijui inakuwaje yani
Unamzungumzia Mange Kimambi?Huwa nashangaa pia
Ila tunakuja palepale kila mtu na tabia yake
Ihefu wanatia Goli la PiliUkikata tamaa ndio mwanzo wa pressure.
Anyway, Tutarudi tukiwa Imara.