joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Benchika yaani kimoyoyo anajuta kuja Kolo FC,bora angebakia kwao afundishe hata timu zinazo cheza cha ndimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anyway ngoja wapate afueni kwa hii drawTena?
Simba ni dude kubwaaBenchika yaani kimoyoyo anajuta kuja Kolo FC,bora angebakia kwao afundishe hata timu zinazo cheza cha ndimu
FTDakika ya ngapi huko
Dah Simba wanashangilia draw
Benchika anahitaji wachezaji Wazuri tu Ili kujijenga upya Simba, jambo linalowezekana wenye timu wakiamua.Benchika yaani kimoyoyo anajuta kuja Kolo FC,bora angebakia kwao afundishe hata timu zinazo cheza cha ndimu
Nayo sio mbaya ikishindikana kuwagongaInamaana Ihefu wanataka droo.
😂😂😂
Kabisa mkuu, jamaa hana furaha.Benchika yaani kimoyoyo anajuta kuja Kolo FC,bora angebakia kwao afundishe hata timu zinazo cheza cha ndimu