Acha upimbi wewe.Hadi mseme leo, bado siku ya mnyama ndo mtasema chura nyie.
Hahahahahha 🤣 🤣 🤣nimecheka sana aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
SamalekoooAcha upimbi wewe.
Ha ha ha ha leo wanakataa hawana kikosi kipanaWanasema kikosi kilichoanza siyo[emoji1787][emoji1787]
Amejitakia mwenyewe. Wacha apigwe tu.Wanayanga wanarusha makopo Kwa lipa wa Ihefi baada ya kujiangusha chini Ili kupoteza muda
Aahaaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu!!!Hizi ndiyo dk za Ally Kamwe aingie sasa