Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,218
- 3,481
Yanga leo walijaribu kucheza bila kibahasha..... Alaumie engineer hexk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mko busy na Robertinho leo mnayaona ya kwenu...haaahaaaaKocha anahusika na haya matokeo kwa 100%.
Walisema wana kosi pana hahahhaaasHa ha ha ha leo wanakataa hawana kikosi kipana
Sitaki ugomvi na mtu mimi! 😡Samalekooo
Acha watalipa fine kamati ya saa 72 ikikaa milioni 5Utopolo huu ni ushamba wa hali ya juu fujo za nini sasa msifungwe ??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Niwatakie Yanga ushindi inshallah tutashinda goli nyingi
Ng'ombeYani leo nina furaha sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Umeutelekeza uzi wako wa Mashabiki wa El Merrekh ,jana nilitaka kulifukua kaburi la uzi wako..Mm ni YANGA damu ila hii yanga ni genge la wahuni tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Nasema uongo mkuu? ha ha ha ha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu!!!
Wazee wa vibahashaYanga leo walijaribu kucheza bila kibahasha..... Alaumie engineer hexk