Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Ha ha ha ha punguza jazba mkuu utakiamsha kisukariSitaki ugomvi na mtu mimi! [emoji35]
Matokeo mabaya kwa Yanga kauli mbiu inakuwa ni sehemu ya mchezo.Ni sehemu ya mchezo na kujifunza pale unapofungwa muhimu, isiwe kama mazoea.
Wapewe adhabu...wafungiwe kabisaUtopolo huu ni ushamba wa hali ya juu fujo za nini sasa msifungwe ??
Mashallah!.
Mtumeeπ€£π€£
Haiwaotei tena tema mate chini ptuuu.Ila Ihefu huwa wanawaoteaje hawa majamaa
Hay baba...nakuacha ngoja nikuleteee gahawa....Sitaki ugomvi na mtu mimi! π‘
Hiko ni kibonde chaoHaiwaotei tena tema mate chini ptuuu.
Kuotea ni mara moja tu zaidi ya hapo wewe ni kibonde
Kweli mkuu ushamba wa hali ya juu sanaWapewe adhabu...wafungiwe kabisa
Kudondosha point 3 siyo mchezo wanakuwa wanasubiri sasa Simba idondosheHaiwaotei tena tema mate chini ptuuu.
Kuotea ni mara moja tu zaidi ya hapo wewe ni kibonde