Gamondi atatupiwa mzigo wa lawama.Mi nawasubiri wale wachambuzi tu sijui wanahali gani huko waliko
Kibonde cha jangwani πHaiwaotei tena tema mate chini ptuuu.
Kuotea ni mara moja tu zaidi ya hapo wewe ni kibonde
Sisi tutakuwa tunawaweka roho juu.Kudondosha point 3 siyo mchezo wanakuwa wanasubiri sasa Simba idondoshe
π€£π€£π€£Refa inaoenekana ana nia ovu na mpira wetu.
Haiwezekani mpaka saizi hajamaliza tu mpira na wakati Yanga wamechoka wanahitaji kupumzika
Nawew kitulize unaongea sanaIla Yanga wana mdomo nyieeeeeee
Leo wamejituliza zao mabwawani
Aisee...Ila Yanga wana mdomo nyieeeeeee
Leo wamejituliza zao mabwawani