Makolo wenyewe ndio walikuwa wanaoongoza kwenye race malalamiko humu jukwaani hata vijiwe Yanga walikuwa wanachochea tu.Matokeo mabaya kwa Yanga kauli mbiu inakuwa ni sehemu ya mchezo.
Performance mbaya matokeo mazuri kwa Simba kauli mbiu ni Simba mbovu.
Tutaelewana tu
We jamaa kwani we ulitakaje?Ihefu wametumia zaidi ya dk 10 kujidondosha alafu zinaongezwa dk 10!!! Hvi hawa marefa wetu wanakuwaga wamelewa wakiwa wanachezesha mechi za Yanga?
Mapema hiiii,Simba bingwaaaaaaaa [emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
Duh!!!...Ngumi zinapigwa hapaaaaa
[emoji3][emoji3][emoji3] machungu ya kufungwaNawew kitulize unaongea sana
Kwa kikosi chake kile cha majaribio. Hawezi kuzikwepa hizo lawama. Wakati mwingine atapunguza masihara yake yaliyopitiliza.Gamondi atatupiwa mzigo wa lawama.
Bado dakika ngapi??..Daaah Mpira umechezwa dakika 75 dakika zingine zote zimepotezwa na Ihefu
Na hii ni verse ya kwanza bado hakuna mawasiliano mazuri kati ya guitar na nyimboMakolo wenyewe ndio walikuwa wanaoongoza kwenye race malalamiko humu jukwaani hata vijiwe Yanga walikuwa wanachochea tu.