Kufungwa na Ihefu kumbe ni mafanikio?Leo hamna neno mtaacha kuongea [emoji23][emoji23] aah
Simba mmefarijika sana
Hata tulipokosa kombe hamkuponda kiasi hiki!!!
Mafanikio ya Yanga yanawauma wengi sana.
Kinyume chake wamepiga hapo hapo penye mshono waliowapatia msimu uliopita!!Ni haki kulipa kisasi...
Ihefu wajiandae kupokea kipondo.
Ni ndoto!! Utakapoamka usingizini utafurahi kuwa kumbe ni ndoto tu!Hivi ndio tumefungwa au naota ndoto.
Hivi ni kwanini Kila siku tufungwe na ihefu.
Wao nani kwani
Kivumbi Na Jasho
Kaka leo nilikua mbali..ila nashukuru sanaaa mambo haya vyura jana hawajalala...na leo hawatalalaView attachment 2772313View attachment 2772314
Aione
Shadeeya Kalpana Scars na wengine wanaopenda na kulitakia mema soka letu Tanzania
maumivu mara mbiliKaka leo nilikua mbali..ila nashukuru sanaaa mambo haya vyura jana hawajalala...na leo hawatalala
Ihefu bado tupo humu sana
Naona mayele katupia bao.la kusawazisha hapaKibabageeeeeee
Naona gamondi katupia bao la 3 hapa amkeni mshangilie nyie mwiko nyumaMkuu tunapaswa kukosoa pale tunapoona kuna makosa ya wazi yanafanyika. Hii mechi haikupaswa kuanza na kikosi kile, ona mlima uliopo mbele yetu sasa yaani tunaisaka droo kwa tochi
Aahaaaaa,Mayele yupo huku Kwa sasaNaona mayele katupia bao.la kusawazisha hapa
Haya gamondi katupia goli la 3 baada ya mayele kusawazishe amkeni mshangilieKocha anahusika moja kwa moja na haya matokeo. Na kama akiendelea na haya masihara yake, mashabiki watamgeuka.
Mzani unasoma ihefu 2 utopolo 3 baada ya magoli ya pacome, mayele , na gamondiAahaaaaa,Mayele yupo huku Kwa sasaView attachment 2778116