PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Hawalipwi mishahara ya bure. Hao akina Kibwana na Mauya na Skudu wenyewe huwa wanakuwa wapi wakati wenzao akina Aziz Ki, Mzize, Pacome na wengineo wanapambana kuongeza viwango?Aahaaaaa
Hao either walete matokeo au waanze kufungasha virago.
Mimi sishauri kocha awabadilishe, bali awaache hao hao