Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msamehe hajitambui dadaAchana nae mpira ume mvuruga huyo🤣🤣😂😂😁
AhaaaaaaVILAZA WA Jamii forum ni
1 .GE.....
2. NA.......
3. La......
GENALA.
hapana mie namsifia na hata leo namsifia,kufungwa ni mchezoHebu acheni Unafiki na Kuchanganyikiwa Kwenu. Na tayari sasa Tobo liko wazi hivyo kila Mtu atapita tu
Kudadadeki.....!!
Ahsante mkuuPole sana
Kuimba kupokezana, itafika zamu yanguUlikuwa wapi kupuliza filimbi?
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeuaVILAZA WA Jamii forum ni
1 .GE.....
2. NA.......
3. La......
GENALA.
Majeruhi,ila hawasemi,na hawatasemaHivi mbadala wa mayele yupo wapi
😂🤣😂 nini mtani. Kwani uongo? AminDuuh!
Kama kuna Mtu anamlaumu Mwamnyeto basi ni Zuzu. Goli la Kwanza kosa ni la Diara X2. Pasi iliyokwenda mbali na punching iliyodondosha mpira golini kwakeHebu acheni Unafiki na Kuchanganyikiwa Kwenu. Na tayari sasa Tobo liko wazi hivyo kila Mtu atapita tu
Kudadadeki.....!!