FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi kuu NBC | 10.2.2025

FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga | Meja Generali Isamuhyo stadium | Ligi kuu NBC | 10.2.2025

Wachezaji wa Yanga hawajamuelewa kocha kabisa.
Msimu mmoja makocha watatu, Ramovic pamoja na kutokukubalika na mashabiki ila alikuwa anashinda magoli mengi sana kwenye ligi kuu. Leo unaona kabisa timu ipo kama vile wachezaji wamekusanywa toka majumbani mwao
 
Msimu mmoja makocha watatu, Ramovic pamoja na kutokukubalika na mashabiki ila alikuwa anashinda magoli mengi sana kwenye ligi kuu. Leo unaona kabisa timu ipo kama vile wachezaji wamekusanywa toka majumbani mwao
Kabisa wamechooka
 
Back
Top Bottom