900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
kwasababu cocha ni azizi ki lazma jkt washinde ama drawYanga anashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwasababu cocha ni azizi ki lazma jkt washinde ama drawYanga anashinda
huoni azizi ki ni ndo kocha msaidizi anafukuzwajeAziz Ki afukuzwe kabisa Yanga, kijana kaanza ngono na mapenzi magoti na stamina imekwisha kabisa kazi kupanua mdomo tu uwanjani speed ndogo, afukuzwe haraka sana, afadhali hayuko leo
Msimu mmoja makocha watatu, Ramovic pamoja na kutokukubalika na mashabiki ila alikuwa anashinda magoli mengi sana kwenye ligi kuu. Leo unaona kabisa timu ipo kama vile wachezaji wamekusanywa toka majumbani mwaoWachezaji wa Yanga hawajamuelewa kocha kabisa.
Neema acha utoto1-0 tayari huko
Basi tulieni kocha na benchi la ufundi msiwalaumuBoya ni aliyemsajili.
sawa dada anguNeema acha utoto
Kabisa wamechookaMsimu mmoja makocha watatu, Ramovic pamoja na kutokukubalika na mashabiki ila alikuwa anashinda magoli mengi sana kwenye ligi kuu. Leo unaona kabisa timu ipo kama vile wachezaji wamekusanywa toka majumbani mwao
Siku ya matuta ni keshoRefa toa tuta. Daaah
Waipate wapi?Hivi JKT wana nembo ya GSM kweli??
Ndio maana mechi ngumu leoWaipate wapi?