NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Ndio,kuifunga Simba ndo malengo ya Utopolo hayo awafikiri ubingwa wala kufanya vema kimataifa.Kwa kiwango hiki cha Makolo mwaka huu watapigwa na Yanga mara nne, 1.Ligi Mara mbili
2. FA
3. Mapinduzi