Dfc ya Jamhuri ya Afrika ya Kati.Jwaneng alimtoa nani hatua ya kwanza?
Nyie mlitolewa na nani au umesahau kama mmeshiriki kwenye Klabu Bingwa Afrika ?mwaka huu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dfc ya Jamhuri ya Afrika ya Kati.Jwaneng alimtoa nani hatua ya kwanza?
Wa kwako walio champion league wapo JIKONI WANAKUNA NAZINdiyo ushangae akili za Makolo kumsifia mchezaji wa hivyo
Kwan yenu mara ya mwisho lini. Na iko wap now. ZEZETA WWHii timu mara ya mwisho kucheza ligi ni mwezi March 2020, na inamfanya simba kustruggle hivi
Aisee Andaeni lawama huko mbele kwa hii timu yenu
Mumebadilisha msemoSimba msipojipigia magoli yakutosha basi tena, tmu kibonde hii
HahahahaaaaKwa kiwango hiki cha Makolo mwaka huu watapigwa na Yanga mara nne, 1.Ligi Mara mbili
2. FA
3. Mapinduzi
halafu kombe linaenda msimbazi tena na mwakani tunawabeba club bingwa afu mfakishe tenaKwa kiwango hiki cha Makolo mwaka huu watapigwa na Yanga mara nne, 1.Ligi Mara mbili
2. FA
3. Mapinduzi
Endeleeni kukamia mechiKwa kiwango hiki cha Makolo mwaka huu watapigwa na Yanga mara nne, 1.Ligi Mara mbili
2. FA
3. Mapinduzi