Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Tena nyingi zitaenda kwa manara kwasababu wengi wanahisi yuko pale kuihujumu yangaHii timu kuna lawama inakuja mbele huko
Tuombe uzima tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena nyingi zitaenda kwa manara kwasababu wengi wanahisi yuko pale kuihujumu yangaHii timu kuna lawama inakuja mbele huko
Tuombe uzima tu
Nasikia mmeomba mechi ya bonanza na Simba ipigwe kavukavu kwa Mkapa,ni kweli mtani?[emoji1787][emoji1787][emoji23] Haya bhana... Tunawatakia kila la Heri watani
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
Hilo boya limepoteana[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwaka wa tabu tena jangwaniKwamba unamaanisha kuwa hadi ile mipira ya kutengewa na wachezaji wa Galaxy kwenye 18 yao, Yanga wangefumba macho wasingefunga?
Hii timu kuna lawama inakuja mbele huko
Tuombe uzima tu
Ahsante..tupo pamoja MkuuGhazwat OKW BOBAN SUNZU Kalpana BRN Mshana Jr Utopologist na wanyama wote wa Msimbazi kazi iendelee.
Simba nguvu moja.
Ninyi Simba ni mwembe wetu wa uani, tukitaka kula dodo tunautingisha tu na kula, mtatukimbia najua hamuwezi kukubaliNasikia mmeomba mechi ya bonanza na Simba ipigwe kavukavu kwa Mkapa,ni kweli mtani?
Ukikumbuka kuwa jamaa wamepita hatua ya awali ambayo Uto walipigwa Home and Away, unabaki kusema 'Sisi Utopolo na wa Songea, Mbeya, Mara na Kagera' haya mambo ya Kucheza Kimataifa tuwaachie Simba Mnyama!Hii timu mara ya mwisho kucheza ligi ni mwezi March 2020, na inamfanya simba kustruggle hivi
Aisee Andaeni lawama huko mbele kwa hii timu yenu
Kunywa tu majiSie Uto tuna_comment wapi?
Nyimbo ya chege haiimbwi hivyo, ni "waowane"Jwaneng Galaxy wauwawe
Jwaneng hatua ya kwanza alimtoa nani?Ukikumbuka kuwa jamaa wamepita hatua ya awali ambayo Uto walipigwa Home and Away, unabaki kusema 'Sisi Utopolo na wa Songea, Mbeya, Mara na Kagera' haya mambo ya Kucheza Kimataifa tuwaachie Simba Mnyama!
wewe yako iliyotoka kucheza pre-season iliishia wapi,waambie watu haraka uliishia kubakwa mtoni 😂😂😂Hii timu mara ya mwisho kucheza ligi ni mwezi March 2020, na inamfanya simba kustruggle hivi
Aisee Andaeni lawama huko mbele kwa hii timu yenu