Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,115
- 2,464
Tulieni nyinyi Utopwenga.Makolo yamekutana na viwete
Kwahiyo wakija bongo hamtaenda kufanya kazi yenu ya kupokea wageni ama?Makolo yamekutana na viwete
Makolo yamekutana na viwete
Nyingi tu kama laki hivi make hii kasi ya boko kuliona lango sijui tukimtia Duncan Nyoni mzee wa kumwaga maji ndani itakuajeNote:tuko ugenini,wakija nyumbani sijui watakunywa ngapi hawa galaxy
Wakati wanamume tupo kusini mwa Afrika kusafisha uozo mlioufanya, nyie mko kusini mwa Tanzania mmeenda kuzuru kaburi la John KombaMakolo yamekutana na viwete
Kwahiyo round ya pili ina viwete kuliko round ya kwanza mliyotolewa kwa Aibu Utopolo.Makolo yamekutana na viwete
Mpaka sasa mkeke wako unasomaUtabiri wangu.
Jwaneng 0 vs 2 Simba.
KILA LA KHERI SIMBA NGUVU MOJA.
Hii round haina vibonde ,Vibonde walishachujwa round ya awali.
Ivi hawamo umu au wamejikausha tu?Uto mmemuona Henonga?