FT: Jwaneng Galaxy 0 Simba SC 2

FT: Jwaneng Galaxy 0 Simba SC 2

Nileteeni wapiga ramli na wachambuzi wetu hapa JF eti simba haitofanya vizuri champions league.Haya vyuma viwili huko
 
Makolo yamekutana na viwete
ab67616d0000b273b4885cf169ed91ad4ec03fa1
 
Nilijua tu, kelele za kufungwa na Yanga hazitakuwa na maana kama Simba itaenda makundi, mpaka hapa imeshaonekana wazi nani anaefikiria mbali zaidi, habari za kumfunga mtani ni ujima enzi za stone age.
 
Galaxy ningewashauri wasuse kuja tanzania kwenye mechi ya marudiano, au kama vipi waje afu watafanya organization na yanga
 
Back
Top Bottom