FT: Jwaneng Galaxy 0 Simba SC 2

Hii timu kuna lawama inakuja mbele huko

Tuombe uzima tu
 
Henonga ajengewe sanamu yake

Kazi hiyo ataifanya dickson job
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ingekuwa Yanga mpaka sasa kashafungwa goli 3 na kasusa kwenda dressing room
Kwamba unamaanisha kuwa hadi ile mipira ya kutengewa na wachezaji wa Galaxy kwenye 18 yao, Yanga wangefumba macho wasingefunga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…