uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Ngapi ngapi huko?Depotivo de utopolo 🤣😂😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngapi ngapi huko?Depotivo de utopolo 🤣😂😁
Bado ni 0-0Ngapi ngapi huko?
kweli unaikubali yanga ubao unasoma 0-0 ila wewe unaona ka vile yanga kapotezaHivi hii ni game ya ngapi Yanga kupoteza?
Dakika ya Ngapi?Bado ni 0-0
Diarra soon anarejea..Anatupwa Leo nje kabisa ya mashindanoKumfananisha Metacha na Ayoub ni kumkosea Ayoub. Metacha ni wa ovyo zaidi, hajui kudaka na hajui kuongea na mabeki zake. Yaani hadi Diarra arejee sijui Yanga itakuwa na hali ipi
nafasi ya goli imefikaTunakosa sana nafasi za wazi hapa 😭😭
Mbona kuna mdau kasema game ni sawa na 1 bila.kweli unaikubali yanga ubao unasoma 0-0 ila wewe unaona ka vile yanga kapoteza
82Dakika ya Ngapi?
Mali anacheza keshoDiarra soon anarejea..Anatupwa Leo nje kabisa ya mashindano
mmelala yoo
Amepata lishangazi hapo mjiniDah! Aliyemroga Max Nzengeli ana roho mbaya sana. 🙁
😁😂Bado hiimmelala yoo
hahahaha kwa ukubwa wa yanga anaona kama imepigwaMbona kuna mdau kasema game ni sawa na 1 bila.
kuna goli mmepigwa, sisi tuna hesabu
MmmhYanga anapata goal.
Safi sana job