Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Huku watu wanakuja kurelax siyo kupasuwana vichwa.Ninyi hili swala la utekaji mnalichukuliaje mm Napenda Mpira na yanga ni timu yangu ila sina amani kbsa nikiona watanzania wanzangu wanatekwa na kisha kupotezwa kusiko julikana, nachoka sna napatwa hasira sna natamni hz timu zote zitewa kimataifa
Sio mara ya kwanza leo!Yawezekana mnapendana nammeshindwa ambiana
4/0Kiuchambuzi bila upendeleo technically sioni yanga akipata ushindi leo
Mkuu embu tukumbushane zile tano mlizopigwa ubao ulisomaje kipindi cha kwanza? Au timu zote zilipigwa tano kumbukumbu yako inaonesha kipindi cha kwanza huwa matokeo yanakuwaje?Haya naona Half Time na mnaongoza kwa 4-1
Mods tunaomba mtutolee huyu mtu .
Cc : Moderatorona hili jitu lizima. Mpuuz I anashangilia watu wanatekwa
Sioni ila mimi na wewe tumeunganishwa na damu ya yesuu, ila wewe unarukaruka tu kama maharage ya mbeya😁Iangalie alikuquote wewe
Lawama zote zimuendee Dube maana yeye ndiye striker halisi lakini leo analeta upuuzi wa kosa kosa za magoli kama Mzize na Musonda.Ile ilikuwa bonge la movement Aziz Ki amecheza vizuri sana ila Pacome kapiga kipuuzi.
Kumbe Broo akili unaziamisha unaona ni sawa tuendelede kuteka na kupotezwa ooh Sawa ngoja hint ako yule atekwe utanikumbukaHuku watu wanakuja kurelax siyo kupasuwana vichwa.
Mkiambiwa kuingia barabarani mnaufyata, dawa iendelee.
hakuna wafungajiYanga wametengeneza nafasi nyingi sana za wazi wameshindwa kuzitumia. Mpaka sasa magoli yalistahili kuwa 4+ ni uzembe mkubwa kupoteza nafasi nyingi kiasi hiki
Man yu tumekosa nini kwani🙄
Ligi Ina endelea Leo.Ligi Kuu ndio inaanza leo sasa, yale mabolizozo yalikuwa yanacheza bonanza la ufunguzi wa ligi.
Kumbe Broo akili unaziamisha unaona ni sawa tuendelede kuteka na kupotezwa ooh Sawa ngoja hint ako yule atekwe utanikuHuku watu wanakuja kurelax siyo kupasuwana vichwa.
Mkiambiwa kuingia barabarani mnaufyata, dawa iendelee.
Muda utaamua tutulieMkuu embu tukumbushane zile tano mlizopigwa ubao ulisomaje kipindi cha kwanza? Au timu zote zilipigwa tano kumbukumbu yako inaonesha kipindi cha kwanza huwa matokeo yanakuwaje?
Unaleta shobo kwenye starehe, jukwaa la siasa lipo on nenda kule mkatapike nyongo.Kumbe Broo akili unaziamisha unaona ni sawa tuendelede kuteka na kupotezwa ooh Sawa ngoja hint ako yule atekwe utaniku
hakuna wafungajiTunatengeneza nafasi za wazi nyingi ila tunashindwa kuzitumia.
hela nyingi zimeenda bure azam wanaakili sanaDube hamna kitu 🤣🤣🤣