Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Aah
Tumefungwa ujue alafu unatuandikia barua n
Wee jamaa uliangalia mpira tuliona sie au wewe ulikuwa unaangalia tofauti?Hakuna cha game plan mkuu leo Simba imezidiwa kwa mbinu chache sana tena sana.
Kaizer hawakua na mambo mengi na kila nafasi waliyopata walitumia vema kwa 90% kupata magoli.
Simba ni timu hasa tena ni timu bora ila kwenye soka kufungwa kupo na hauwezi kushinda ama ku-draw kila mechi lazima kuna siku utafungwa tena kwenye hatua muhimu ya kusonga mbele kama hatau ya leo kwa Simba.
Kweli goli nne ni nyingi, kuwapiga nne au zaidi kwa Mkapa ni ngumu sana.Mkuu mpaka mnawapiga hizo nne wao wanakuwa wamesinzia?
Kosa kubwa mlilolifanya Simba leo ni kuruhusu goli nne zote! Maana yake mna kibarua kigumu sana cha kurudisha hayo magoli
Manina zenu mlivyo fasta mshatuchorea vikatuni baada ya dk mbili tu mpira kuisha.View attachment 1786375
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Mkuu hii wiki yote ntahamia jukwaa la Siasa,haya maumivu niliyonayo si ya kitoto, daah Aiseeh Wana Yanga nba moyo yani leo ndo nimejua mnachokipitia daily[emoji28].Unataka kukimbilia wapi ww kujaaaa
ushaliwa weye....
Hao As Vita mliwafunga tano? Au umemfananisha na Ruvu shooting?Beki Leo zimetuangusha. Lakini Kaizer Chief Wanafungika hata Goli Tano. Kama Ilivyokuwa kwa As Vita Nina Hakika Dar Tutashinda Zaidi ya Goli 4 Tulifanya Hivyo kwa As Vita, Fc Platnumz Hakika Tutaishangaza Afrika
Sijui ameshalala,dah,,!' hiki kipigo sio cha nchi hii,Simba timu yangu kweli ya kupigwa nne bila tena wakiwa full ngwamba!Bwahaha! Hiki leo ndiyo kinaitwa cha mbwa kokoooo
Hivi yule ndundami wa Manara Scars yuko wapi ??? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Alafu huyu kocha wao alikua anajua kabisa nini kitatokea, hakuwa na papara wala nini.
Hii ndo ile ya''kufungwa twafungwa lakini chenga twawali?Unamiliki mpira 78% shot on target 0
Ni hatari hao jamaa ulio wa tag sijui wana hali gani uko walipo,mimi mwenyewe hapa naona nyota nyota na kizunguzungu kwa mbaali nimepata sonona ghafla.View attachment 1786397
Vile Gavin Hunt amewafanya simba leo hii [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Shadow7 , Scars , OKW BOBAN SUNZU
Kufikiria vile ni matumizi mabaya ya kichwa, pale hakuna timu ya mashindanoNacheka kama mazuri [emoji23][emoji23][emoji23].
Natamani kulia mwenzenu nilishaamini mwaka huu tunafika fainali [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hamna uwezo wa kuwafunga 4-0Hata tukiwapiga nne tutaenda kwenye matuta.
Habari ni Simba kuunganishwa kwenye kifurushi cha 4GUtopolo mjue Uzi Wenu Wa Mechi na Namungo Umedoda kule nyie nimekuja kujazana huku...... SIo POA KBS
Kwenye begi mkuuSijui tutaweka wapi sura zetu
Ni matumizi mabaya ya akili kiufananisha Kaiser Chiefs na Platnums, tena Platnums mliwashinda kwa fitna za corona.Beki Leo zimetuangusha. Lakini Kaizer Chief Wanafungika hata Goli Tano. Kama Ilivyokuwa kwa As Vita Nina Hakika Dar Tutashinda Zaidi ya Goli 4 Tulifanya Hivyo kwa As Vita, Fc Platnumz Hakika Tutaishangaza Afrika
Mnashinda njaa😂Pamoja tunashinda