Kama bado hatujikerebishi kwenye kona basi huu ndo mwisho wetuSimba Aluta Continua, Nusu Fainali ndio lengo la Watanzania wote kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bado hatujikerebishi kwenye kona basi huu ndo mwisho wetuSimba Aluta Continua, Nusu Fainali ndio lengo la Watanzania wote kwa sasa.
Mungu mkubwa, apigwe Simbakazubaa mpaka kero
Safi sanaTimu mbili kutoka Nchi marafiki, Afrika Kusini na Tanzania zinakutana leo Jumamosi ya Mei 15, 2021 kwenye uwanja wa kwanza Afrika kuchezwa fainali za Kombe la Dunia, ambapo Kaizer Chiefs wanakabiliana na Simba SC katika hatua ya robo fainali ya Kombe la Klabu Bingwa Barani Afrika, mchezo utakaopigwa kwenye uwanja wa FNB Stadium nchini Afrika Kusini.
Mchezo inatarajiwa kuwa mkali na wa vuta nikuvute kwa muda wote wa dakika 90, mchezo ambao utachezwa bila kuwepo mashabiki uwanjani.
Kaizer Chiefs wakiwa nyumbani katika hatua ya makundi hawajapoteza mchezo hata mmoja kwenye uwanja wa FNB, wameshinda michezo miwili na kutoka sare mchezo mmoja huku wakiwa hawajaruhusu bao kwenye michezo yote mitatu.
Simba SC ushindi wa michezo minne na sare ya mchezo mmoja huku ikiwa wamepoteza mchezo mmoja na kujikusanyia alama 13 na kumaliza vinara wa kundi A wanakipiga na Kaizer Chiefs wakiwa wameshika nafasi ya pili kwenye kundi C kwa alama 9.
Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 1: 00 kwa saa za Tanzania na saa 12:00 kwa saa za Afrika Kusini.
Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana.
Kaizer Chiefs Vs Simba SC
===============
00' Mpira umeanza dimba la FNB
04' Almanusura Kaizer waandike goli la kwanza baada ya Manya kubaki na goli lakini akajigonga, kona.
05' Goooooooooaaal Kaizer Chiefs wanatangulia kwa bao la kwanza, mpira ulioanzia kwenye kona. Kaizer Chiefs 1-0 Simba SC
11' Chris Mugalu ansshindwa kuipatia Simba SC bao, baada kushindwa kumalizika pasi ya Miquissone
Simba wametulia sasa wanacheza kwa kupasiana kujaribu kupenya ngome ya Kaizer Chiefs.
Dua la Utopolo dhidi ya Simba Mfalme!Mungu mkubwa, apigwe Simba
Simba isipocheza mfululizo wachezaji wanakua butuKocha fanya maamuzi magumu kwa Kapomne,hayupo kabisa
Kufunga siyo ball possessionSimba possession 68%
Mkuu tupe linki kama ya janaTuko slow sana kwenye buildup