FT: Kaizer Chiefs 4-0 Simba SC | Klabu Bingwa Afrika CAFCL | FNB Stadium

Safi sana
 
Tulieni mpira uchanganye vizuri, asitoke Kapombe akianza kuwakimbiza hao wasauzi ndio watamjua vizuri.
 
afadhari mnanitia myo kwa kuonyesha namna Simba anavyopiga kandanda huko.
 
Simba hakwenda sauzi kushambulia, kaenda kukaa na mpira apoteze muda, kama goli likitokea ni bahati sio mbaya, ila primary objective kucheza away ni defence.
 
Yule beki gani wa Simba alitaka kutoa boko,badala ya kuucheza mpira yeye anataka kutumia mwili na mwili wenyewe hana,tena ndani ya penati box?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…