uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Nimecheka sanaWe vipi umekosea Kun quotes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sanaWe vipi umekosea Kun quotes
😂😁😁😁😁Nimecheka sana
Dakika 12🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ KEN GOLD vs YANGA Sc
saa 10 kamili jioniView attachment 3106120
Kikosi kinachoanza dhidi ya Ken Gold SC🔰💪🏽
View attachment 3106339
Mpira umeanza
Dakika ya 2 boka anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 3
Max anafanyiwa madhambi
Dakika ya 6
Ken 0-0 yng
Dakika ya 10
Max anafanyiwa madhambi
Dakika 12
Goal Baccaaaaaaaaaaa⚽️
Dakika ya 16
Job anafanyiwa madhambi
Dakika ya 17
Chama anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 20
Ken 0-1 yng
Dakika ya 28
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 36
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 41
Mzize anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 45+2
𝐇𝐀𝐋𝐅 𝐓𝐈𝐌𝐄
Ken Gold 0-1 Young Africans SC
View attachment 3106404
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 47
Ken 0-1 yng
Dakika ya 51
Boka anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 59
Max anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 65
Ken 0-1 yng
Dakika ya 67
Mabadiliko anatoka mzize anaingia dube anatoka chama anaingia pacome
Dakika ya 69
Tunapata Kona na tunakosa goli la wazi
Dakika ya 76
Aucho anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 77
Mabadiliko anatoka max anaingia musonda anatoka Aziz k anaingia mudathir
Dakika ya 87
Mabadiliko anatoka Yao anaingia Aziz andambwile
Dakika ya 90+4
𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄⏱️
Ken Gold 0-1 Young Africans SC
View attachment 3106440
Dakika 12🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ KEN GOLD vs YANGA Sc
saa 10 kamili jioniView attachment 3106120
Kikosi kinachoanza dhidi ya Ken Gold SC🔰💪🏽
View attachment 3106339
Mpira umeanza
Dakika ya 2 boka anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 3
Max anafanyiwa madhambi
Dakika ya 6
Ken 0-0 yng
Dakika ya 10
Max anafanyiwa madhambi
Dakika 12
Goal Baccaaaaaaaaaaa⚽️
Dakika ya 16
Job anafanyiwa madhambi
Dakika ya 17
Chama anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 20
Ken 0-1 yng
Dakika ya 28
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 36
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 41
Mzize anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 45+2
𝐇𝐀𝐋𝐅 𝐓𝐈𝐌𝐄
Ken Gold 0-1 Young Africans SC
View attachment 3106404
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 47
Ken 0-1 yng
Dakika ya 51
Boka anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 59
Max anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 65
Ken 0-1 yng
Dakika ya 67
Mabadiliko anatoka mzize anaingia dube anatoka chama anaingia pacome
Dakika ya 69
Tunapata Kona na tunakosa goli la wazi
Dakika ya 76
Aucho anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 77
Mabadiliko anatoka max anaingia musonda anatoka Aziz k anaingia mudathir
Dakika ya 87
Mabadiliko anatoka Yao anaingia Aziz andambwile
Dakika ya 90+4
𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄⏱️
Ken Gold 0-1 Young Africans SC
View attachment 3106440
Huyu aliyezidi alikuwa ni Aucho alienda alafu akarudi nyuma kabla mpira haujapigwa
Wale wazee wa machakani ni vinara wa propaganda.Yanga wana ufundi wa kuyageuza mabaya yao kuwa mazuri na mazuri ya simba kuwa mabaya😆😀😃😃😄
Wana ubini na waamuzi ndiyo maana hizi mbeleko haziishiDakika 12
Goal Baccaaaaaaaaaaa⚽️
Umemstukia anajifanya Pdiddy anakuimbia wimbo wa birthday huku ameshika mafuta mkononi🤣🤣🤣We vipi umekosea Kun quotes
Umemstukia anajifanya Pdiddy anakuimbia wimbo wa birthday huku ameshika mafuta mkononi🤣🤣🤣
View attachment 3106666
Tukutane mwezi wa 10 mtani
Watu mna ufwala mwingi sana, mmesha edit🤣🤣View attachment 3106676
Jamaa miyeyusho sana 😂 😁 😁
Itajulikana ubovu wake tukiwakuta makolo njiani.Yanga mbovu
wameliwa wengi sio wewe tu. mimi nimepoteza QAR 2000 nilimpa asian handicap -1.5Nimeelewa sasa wanavyosema bet kistaarab, hela yote ya mshahara na posho imeenda ndani ya dakika 90View attachment 3106690