FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024

FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024

Au ndo madhara ya kikosi kipana??
Hatufungwi ila kufunga NBC naona kama tumeanza na mwanzo mbovu! Kwa ubora wa Yanga nilitegemea 5 5 kila timu inayotujia
Na huu uzembe wa kukosa kosa magoli siupendi!
Au ndo tumeota mbawa ?
Yani wajenga kikosi mechi2 wana michomo 7 sjui sisi mabingwa wa Ligi hii mara 3 mfululizo tunashinda moja kwa timu zilizopanda daraja aibu hii...
Kwanzia leo mi naacha kutembea kifua mbele naishi kama underdog wallah
Dada punguza kuwa na mtu wa kutaraji makubwa kwenye mchezo wa mpira wa miguu. Ukipata ushindi hata uwe mwembamba katika uwanja wa ugenini ridhika na furahia. Kuna timu 11 za mikoani tayari tumeshamalizana nazo timu 2 bado timu 9 hapa sio swala la kutegemea mambo ya 3G, 4G au 5G bali alama 3 kisha wakikutana na viwanja vizuri sasa ndio wanashindiliwa magoli ya kutosha.
 
Hawa Ken Gold hakuna kuwapa bahasha. Kibunda kinatunzwa kwa ajili ya makolo wapewe za kutosha mpaka warudi waseme hatukukubaliana hivyo. Ongeza bahasha
 
Utopolo wanaharibu Mpira sana na sasa nimeamini Nchi inanuka Rushwa hii. Goli zuuuri la Kengold limekataliwa halafu goli feki la vyura litakakataliwa. Maajabu hayatakuja kuisha. Yanga apewe Ubingwa tu mapema kwa mwendo huu. Over
 
Ukisikia Aden Rage anawaita mbumbumbu unaweza hisi anawaonea ila yupo sahihi sana

IMG_20240925_193816.jpg
 
Kwa wanaofuatilia mpira wa bongo ukiachana na dhana kuwa yanga huwa wanasumbuliwa na timu za Mbeya lkn yanga na kengold walishawahi kukutana kwenye FA nadhani ni misimu miwili nyuma kengold wakiwa championship aisee Yanga walishinda kwa mbinde sana goli 1 la Mzize ilibaki midogo watolewe na hao madogo (kama leo) so kwa leo sijashangaa haya matokeo
 
Utopolo wanaharibu Mpira sana na sasa nimeamini Nchi inanuka Rushwa hii. Goli zuuuri la Kengold limekataliwa halafu goli feki la vyura litakakataliwa. Maajabu hayatakuja kuisha. Yanga apewe Ubingwa tu mapema kwa mwendo huu. Over
Mpira bahati nzuri hakuna uliyeweza kuuwahi hadi unavuka kwenye nguzo za goli, ule mpira laiti kama ungekuwa umevuka mstari ni lazima ungegonga nguzo ya pili na kuingia ndani. Lakini Mpira hadi unatokea kwenye nguzo ya pili maanake hauukubuka mstari au unataka kusema zile nguzo zimepinda?
 
Kazi kwenu wachambuzi mliwapa idadi kubwa ya magoli timu yenu ambayo mmeipa ubingwa kabla ya ligi kuanza.
Leo mtasema nini tena wahuni nyie
Uzuri zam zam na zam yenu itafika, tushamaliza mechi mbili za ugenini.
 
Kazi kwenu wachambuzi mliwapa idadi kubwa ya magoli timu yenu ambayo mmeipa ubingwa kabla ya ligi kuanza.
Leo mtasema nini tena wahuni nyie
Tulia uandike vizuri kijana wa Lage ,unaharaka gani?kwani yanga kapoteza pointi ndiyo kwanza ligi badoipo mwanzoni.
 
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰

🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ KEN GOLD vs YANGA Sc
saa 10 kamili jioniView attachment 3106120

Kikosi kinachoanza dhidi ya Ken Gold SC🔰💪🏽
View attachment 3106339
Mpira umeanza
Dakika ya 2 boka anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 3
Max anafanyiwa madhambi

Dakika ya 6
Ken 0-0 yng

Dakika ya 10
Max anafanyiwa madhambi

Dakika 12
Goal Baccaaaaaaaaaaa⚽️

Dakika ya 16
Job anafanyiwa madhambi

Dakika ya 17
Chama anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 20
Ken 0-1 yng

Dakika ya 28
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 36
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 41
Mzize anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 45+2
𝐇𝐀𝐋𝐅 𝐓𝐈𝐌𝐄
Ken Gold 0-1 Young Africans SC
View attachment 3106404
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 47
Ken 0-1 yng

Dakika ya 51
Boka anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 59
Max anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 65
Ken 0-1 yng

Dakika ya 67
Mabadiliko anatoka mzize anaingia dube anatoka chama anaingia pacome

Dakika ya 69
Tunapata Kona na tunakosa goli la wazi

Dakika ya 76
Aucho anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 77
Mabadiliko anatoka max anaingia musonda anatoka Aziz k anaingia mudathir

Dakika ya 87
Mabadiliko anatoka Yao anaingia Aziz andambwile

Dakika ya 90+4
𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄⏱️
Ken Gold 0-1 Young Africans SC
View attachment 3106440
Sawa kolo sugu ,usibadilike yanga itakapoanza kufunga magoli MENGI na kusema imenunua gemu,kwa maana hawana Hela Tena na tajiri hanunui Tena gemu.
 
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰

🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ KEN GOLD vs YANGA Sc
saa 10 kamili jioniView attachment 3106120

Kikosi kinachoanza dhidi ya Ken Gold SC🔰💪🏽
View attachment 3106339
Mpira umeanza
Dakika ya 2 boka anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 3
Max anafanyiwa madhambi

Dakika ya 6
Ken 0-0 yng

Dakika ya 10
Max anafanyiwa madhambi

Dakika 12
Goal Baccaaaaaaaaaaa⚽️

Dakika ya 16
Job anafanyiwa madhambi

Dakika ya 17
Chama anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 20
Ken 0-1 yng

Dakika ya 28
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 36
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 41
Mzize anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 45+2
𝐇𝐀𝐋𝐅 𝐓𝐈𝐌𝐄
Ken Gold 0-1 Young Africans SC
View attachment 3106404
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 47
Ken 0-1 yng

Dakika ya 51
Boka anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 59
Max anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 65
Ken 0-1 yng

Dakika ya 67
Mabadiliko anatoka mzize anaingia dube anatoka chama anaingia pacome

Dakika ya 69
Tunapata Kona na tunakosa goli la wazi

Dakika ya 76
Aucho anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 77
Mabadiliko anatoka max anaingia musonda anatoka Aziz k anaingia mudathir

Dakika ya 87
Mabadiliko anatoka Yao anaingia Aziz andambwile

Dakika ya 90+4
𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄⏱️
Ken Gold 0-1 Young Africans SC
View attachment 3106440
Tabors ambaye wachezaji walikuwabado hawana vibali mliwafunga ngapi?kila gemu iplani yake dunduka.
 
Back
Top Bottom