Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Hawajakamii,Yanga wamecheza chini ya kiwangoHawa Kengold kama wangewakamia Singida, KMC au Kagera sugar wangevuna walau alama moja 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajakamii,Yanga wamecheza chini ya kiwangoHawa Kengold kama wangewakamia Singida, KMC au Kagera sugar wangevuna walau alama moja 😂😂😂
Mkoa upi alishashinda nyingi?sio mkoa ni mbeyaaaa
Yanga hawana bahati na mbeya
Ah wapi hovyo mbona pep akikutana na vibonde anawakandika magoliandika pole pole mkuuu mpira ndo ulivo..
Hii ndio pointHawajakamii,Yanga wamecheza chini ya kiwango
Bora useme weyemechi 2 goli 3 nacheka kama sio Timu yangu😅😅 im very very disappointed
KwikwikwikwiKutoka goli 5...sisi kama mazuzu fc tunasema kikubwa point 3...
Leo nusu nizimie mwishoni lile goli walio Kosa jamaa afu nimepigwa na jua kalii sana 😭Vincenzo Jr mtani naona umenielewa sasa...hahhahhaa
Mkoani chali wapi mbona unaonesha umbumbumbu? Yanga imecheza michezo miwili away msimu huu na yote kashinda. Msimu uliopita Yanga kapoteza mechi mbili tu vs Azam na vs Ihefu, sasa unasemaje Yanga mkoani chali? Yanga msimu uliopita ndio timu iliyoongoza kwa kukusanya point nyingi away kuliko timu zote. Njoo na takwimu kupingana na hoja we kolo ushabiki umekujaa tupuNyomi la Mbeya halijawahi furahia timu yako.
Hivi uchawi hauvuki mkoa?
Mbona huko mikoani Uto chali sana?
Tutasikia Gamondi anaanza kuulaumu uwanja. 🤣🤣
Wachezaji hawakua fit, mechi mfululu zimewachosha.mechi 2 goli 3 nacheka kama sio Timu yangu😅😅 im very very disappointed
😁😁😁😁😁😂Kutoka goli 5...sisi kama mazuzu fc tunasema kikubwa point 3...
Naunga mkono hojaWachezaji hawakua fit, mechi mfululu zimewachosha.
Tuwape muda wa kurecover.
Mkoani speed ni 1g to 2g why?Mkoani chali wapi mbona unaonesha umbumbumbu? Yanga imecheza michezo miwili away msimu huu na yote kashinda. Msimu uliopita Yanga kapoteza mechi mbili tu vs Azam na vs Ihefu, sasa unasemaje Yanga mkoani chali? Yanga msimu uliopita ndio timu iliyoongoza kwa kukusanya point nyingi away kuliko timu zote. Njoo na takwimu kupingana na hoja we kolo ushabiki umekujaa tupu
Kikubwa point tatu, watu wanataka ushinde tano tano tu.Naunga mkono hoja
Bora useme weye
Mimi mwenyewe mwana Mbeya na nimefurahi na nipo Mbeya uwanjani mubasharaNyomi la Mbeya halijawahi furahia timu yako.
Hivi uchawi hauvuki mkoa?
Mbona huko mikoani Uto chali sana?
Tutasikia Gamondi anaanza kuulaumu uwanja. 🤣🤣
Kabisa muhimu tumepata point tatuKikubwa point tatu, watu wanataka ushinde tano tano tu.
Vs Kagera Sugar Kaitaba kapigwa goli 2Mkoa upi alishashinda nyingi?
Zaidi ya Dar?
Mtambamiza anayefuata....mnacheza na nani next?Au ndo madhara ya kikosi kipana??
Hatufungwi ila kufunga NBC naona kama tumeanza na mwanzo mbovu! Kwa ubora wa Yanga nilitegemea 5 5 kila timu inayotujia
Na huu uzembe wa kukosa kosa magoli siupendi! See
Au ndo tumeota mbawa ?
Yani wajenga kikosi mechi2 wana michomo 7 sjui sisi mabingwa wa Ligi hii mara 3 mfululizo tunashinda moja kwa timu zilizopanda daraja aibu hii...
Kwanzia leo mi naacha kutembea kifua mbele naishi kama underdog wallah