kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ni mali ya cdmHivi huu uwanja wa jamhuri ni mali ya ccm?
Kati kati ya majiniUnateseka ukiwa wapi?
NdioHivi huu uwanja wa jamhuri ni mali ya ccm?
Teseka sana..!!!Kati kati ya majini
Safi,nakuvua umbumbumbu
Cdm ndiyo nini?Hapana ni mali ya cdm
Anyang'anyweNdio
Ongezea na pichi yenye mabonde mabondeCdm ndiyo nini?
Anayemiliki huu uwanja ni mzembe na maskini sana, na anapaswa anyang'anywe umiliki wa huu uwanja tupo 2024 kiwanja hakina screen za kufatilia mubashara, hakuna VAR, hakuna viti why mmiliki maskini amiliki asichokiweza?
Likiwanja kama la kufikia nguruwe tu [emoji23]
Kikosi kimekamilika...NBCPremierLeague
️ KMC SC Vs Yanga SC
17.02.2024
Jamhuri Morogoro
10:00 jioni
Kikosi kinachoanza dhidi ya KMC FC
View attachment 2907015
Mpira umeanza
dakika ya 1
Mudathir anaipatia Yanga SC goli la kwanza
Dakika ya 10
Mzize anakosa nafasi ya wazi
Dakika 15
Yanga SC wanaendelea kuongoza kwa goli Moja pacome amekosa nafasi ya wazi
Dakika ya 18
Kibabage anachezewa madhambi
wanacheza kifala ama?