Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Huyo Fala n wewe bila Shaka [emoji2957][emoji23][emoji23][emoji23]kuna fala anasema uto wanaongoza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Fala n wewe bila Shaka [emoji2957][emoji23][emoji23][emoji23]kuna fala anasema uto wanaongoza
Wakipekee mshikaji wangu unanitukana?Huyo Fala n wewe bila Shaka [emoji2957]
Fredi magoligoli la uto kafunga nani?
Gwedegwede 😁🤣😂goli la uto kafunga nani?
Sijakutukana ila soma vizuri post yako umesemaWakipekee mshikaji wangu unanitukana?
anyway sijui kutukana mtandaoni
Mkuu sio Yanga tu, sasa hivi hilo ni tatizo la dunia nzima, km uliona mechi ya jana kati ya Bel vs Al ahyl utakuwa ulijioneaTatizo la mmaliziaji Yanga bado ni tatizo, Mzize ni mpumbavu mpaka sasa kakosa magoli mawili ya wazi kabisa
Sasa Gamondi afanyeje? Akimuanzisha Musonda ndio hayohayo!Huyu jamaa naona ana homa za vipindi ila ningemshauri Kocha Gamondi awe anaweka kama super sub maana akiaanza anacheza Makida
Dah kitu cha Kwanza msimu ujao tutafute Forward bila hivo tutaumbukaSasa Gamondi afanyeje? Akimuanzisha Musonda ndio hayohayo!
Naunga mkono hojaDah kitu cha Kwanza msimu ujao tutafute Forward bila hivo tutaumbuka
Huyu kibabage sijawahi kumuelewa kabisa anapoteza pasi muhimu na kupiga pasi mkaa sana