Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa kuna muda nilishangaa wachambuzi wanasema n Bora kuliko Lomalisa.... [emoji16]Sheikh hamna mchezaji humo
Huyu jamaa naona ana homa za vipindi ila ningemshauri Kocha Gamondi awe anaweka kama super sub maana akiaanza anacheza Makida
Ni hovyo kabisaOngezea na pichi yenye mabonde mabonde
Musonda ana afadhariSasa Gamondi afanyeje? Akimuanzisha Musonda ndio hayohayo!
Leo naona sijui alilala Kwa lishangazi Yuko Hoi bin taabani ovyo kabisa
Mh ile mechi hawakusameheana kweli wale waarabu?Mkuu sio Yanga tu, sasa hivi hilo ni tatizo la dunia nzima, km uliona mechi ya jana kati ya Bel vs Al ahyl utakuwa ulijionea
Pamoja sana mwamba!!Sijakutukana ila soma vizuri post yako umesema
"Kuna Fala anasema uto anaongoza" ndo nikajibu huyo mtu n wewe... I'm sorry kama hukunielewa