Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karogwa inabidi wazee wa Yanga wafanye kitu ila lazima afunge Goli la nneMchezaji wangu pendwa maxi mpia nzengeli akifungwa niitwe
Niko ngarash tunamalizia nyama choma
Na tunafunga magori. Raha ya mechi gori/magoriKuitazama Yanga ikicheza ni burudani sana, boli linatembea sio mchezo[emoji119]
Huyu ntampigaNaam, hapa tunapiga jaramba la kukutana na Belouizdad.
Wanazingua sana yaani ubao wa magoli unasoma 1 Itakuwa ni mashabiki wa Simba SC Hawa🤣😁😂Mods makolo watupu
😁🤣🤣 Wanazingua sanaModerators ni mikiaView attachment 2907119
Hatari sana aseYanga kwa sasa tunaogopwa na timu zote TZ. Wanatuhamisha viwanja tunawafunga tu.
Amin nakwambia SIMBA SC hawatamani kukutana Young Africans SC.
Wachezaji 11 wa KMC wanacheza na wachezaji 22 wa Yanga. Maana nachoamini kila mchezaji wa Yanga ana JINI lake hapo uwanjani. Hivyo siyo rahisi KMC kupata goli hata mojaMods makolo watupu
Siku hayo majini yakikasirika mtashuka daraja .Yanga kwa sasa tunaogopwa na timu zote TZ. Wanatuhamisha viwanja tunawafunga tu.
Amin nakwambia SIMBA SC hawatamani kukutana na Young Africans SC.
Pacome mtupuuModerators ni mikiaView attachment 2907119
Hizo zote ni kelele za vipigo kutokana na ubora wa Young Africans SC.Siku hayo majini yakikasirika mtashuka daraja .
0-3 yanga wanaongozaNgap ngap huko