computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,480
- 6,029
Mitoano ipi?Simba kwa home ground ni sawa nakubaliana na wewe ila kwa away grounds anakulaga makonzi ya nguvu tena season hii kafuzu sababu ya kumfunga vipers away vingenevyo yangekuwa mengine tuMbona umehitimisha kirahisi tu namna hiyo[emoji16][emoji16]
Hao rivers wanaonekana kabisa hawana game plan ya kufuzu hatui hii,wanaonesha show game.
Alafu kuhusu simba we mwenyewe unaelewa kabisa kwamba mnyama kwenye mechi za mtoano kama hizi anakuwa na kiwango cha tofauti kabisa ambacho huwa kinampa matokeo positive.
Reference games
a.simba vs raja (home and away)
b.simba vs waydad
LazimaRivers United ikija kwa Mkapa itapigika sana.
Na hii ndio itayotuletea midomo
Akipewa pass,huwa hataki kabisa kutoa,anahisi mpira ni wake peke ake.Too selfish and wasteful
Kiukweli Rivers United hatuchezi vizuriAcha uoga
NI kweli wamepoteza nafasi nyingi sana.Kwa hicho kiwango cha Rivers Yanga walitakiwa wawe wanaongoza.
Wanashinda njaa?Leo Yanga wanashinda .
🤣🤣Wamekutana na timu bora sanaKiukweli Rivers United hatuchezi vizuri
Washambuliaji wetu wanakosa nafasi nyingi za wazi, halafu pasi nyingi zinapotea.
Hii Rivers United ni tofauti kabisa na ile niliyokuwa naishangiloa kipindi kile wakati mi mdogo
Ana ikosti timuMayele uchoyo sijui ataacha lini!!
Kwa bahati mbaya mashindano haya hayahusishi timu bora🤣🤣Wamekutana na timu bora sana
Kutumia nafasi ni sanaa ndani ya sanaa,na hiyo sanaa huko utopoloni hakunagaRivers weupe pee Yanga wakiacha kupoteza nafasi anampigia ukouko kwao uyu Rivers.
View attachment 2596907
ANAITWA NAZIRU AUWALU mshambuliaji wa TIMU YANGU YA UTOTONI YA RIVERS UNITED ya Nigeria [emoji1184] huko huyu anafunga hata akiwa benchi anakabwa na mabeki 7 mechi 10 anagoli 48 kacheza Aston Villa kila la kheri RIVERS UNITED amesema asipofunga leo anaacha kucheza mpira RIVERS UNITED NGUVU MOJA[emoji91][emoji91][emoji91][emoji1184][emoji1184][emoji1184]
Sasa hao matutusa wamefuzu vipi hadi hatua hii?Yanga mwaka huu ni wenye bahati kubwa maana wanapangwa na matutusa wenzake tu akishindwa kubeba kombe mwaka huu basi itabidi asubiri miaka mia moja ijayo ndiyo bahati kama hii itakapo jirudia tena.