FT: Ligi Kuu Bara | Geita Gold FC 1-1 Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba | Leo Mei 22, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ huko mayele akiwafurusha mtakimbilia wapi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸƒπŸƒπŸƒ
Mayele tumecheza naye mara 3 katufunga mara 1

Na sababu ya kufunga nimeelezea kwenye post namba 119
 
Na mewarm kweli kimbizwa saanaa mpila mwingi mepigiwa
Hiyo kawaida

Hata wewe ukijikuta kwenye ugomvi na mdogo wako lazima dogo ataonekana kujituma kwa kutumia nguvu sana ili aendane na kasi yako
 
Shughuli ni pale mdogo akikuvua nguo na wewe bila stara kuinama kuiokota 🦍aibu aibu
Hiyo kawaida

Hata wewe ukijikuta kwenye ugomvi na mdogo wako lazima dogo ataonekana kujituma kwa kutumia nguvu sana ili aendane na kasi yako
 
Mshalipa ile faini ya kuwasha moto wa uchawi uwanjani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…