Yanga wanatumia uchawi wa Bumbuwazi mkuu, wachezaji wa timu pinzani wanakuwa hawajitambui vizuri.Hivi inakuwaje tmu zote za hapa nchini zikicheza na Yanga zinakaa nyuma ya mpila ila zikicheza na Simba zinafunguka?? Ina maana huwa haziihofii Simba?
Usi ihusishe Yanga na Mambo ya kishirikina wakati Simba ndio wakali wa izo kazi, walifikia mbaka kulidhalilisha Taifa kule Kwa Madiba Kwa vitendo vya kishirikina.Yanga wanatumia uchawi wa Bumbuwazi mkuu, wachezaji wa timu pinzani wanakuwa hawajitambui vizuri.
Ukiona wanaonewa wengine, leta timu yako uwanjani alafu uwe refa uone kama Kolo atatokaPenalty ya wazi sana ila ndo vile mwamuzi anabahasha asingeweza kuruhusu.
Kuna wakati aucho alicheza hovyo akaanguka halafu mpira upo kwenye move ya hatari ikabidi mwamuzi apige filimbi kuua move ili kuwaokoa.Ni kawaida tulishazoea
Hata tuvae vesti, nyie ni mwembe wetu wa uwani. Mtachagua wenyewe tuvae jezi gani ili mkose kupiga kelele.Never ... mnafikiri hizo jezi za msibani zitasaidia?
kumbe upo mjini ddm Safi Sana Niko ilazo hapa karibu sana[emoji41]Mi mwenyewe nimeona humu nadhani saa moja hivi..
Kweli mvua imetandika sana leo aisee
Wachawi FCNyeusi FC
Kameze dawa ya maumivu ulale, ewe kigagula cha uchawi.Yani Topolo yote meno nje.....
Mazafanta topolo
Kibu kama zile kapata ngapi?Hawa Coastal ni wapuuzi tu yani nafasi ile ni ya kukosa kweli?
Kinyesi FC aka Manyani FC aka Mihogo FC aka Vyura FC.. nitaendeleaWachawi FC
Ukadhani tunafungwa?Kinyesi FC aka Manyani FC aka Mihogo FC aka Vyura FC.. nitaendelea
Hivi mkuu Huwa unaumizwa sana na ushindi wa Yanga?Penalty ya wazi sana ila ndo vile mwamuzi anabahasha asingeweza kuruhusu.
Kuna wakati aucho alicheza hovyo akaanguka halafu mpira upo kwenye move ya hatari ikabidi mwamuzi apige filimbi kuua move ili kuwaokoa.Ni kawaida tulishazoea
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ngada 'nzuri' kiongozi. Juzi ilichangia ushindi mnono wa ugenini wa 0-5Ukadhani tunafungwa?
Ngada na umbumbu mbaya sana.
Utata ulikuwepo, ndio mana tumeandika!Hakukuwa na utata kwenye lile tukio. Hivyo siyo poa kuwalalamikia waamuzi hata kwenye matukio ya kawaida kabisa!
Gadiel Michael anacheza Yanga?Yanga wanatumia uchawi wa Bumbuwazi mkuu, wachezaji wa timu pinzani wanakuwa hawajitambui vizuri.
Amechagua kuishi maisha magumu mwacheHivi mkuu Huwa unaumizwa sana na ushindi wa Yanga?
Halafu Kila mechi ya Yanga unaangalia si utakufa Kwa masononeko mzee mwenzangu..
Mpira ni mchezo wa furaha hebu Achana na hizi chuki ulizonazo Kwa Yanga
Vichwa havijawekwa kubeba nywele TU.Kinyesi FC aka Manyani FC aka Mihogo FC aka Vyura FC.. nitaendelea
Wewe shida yako itakuwa ni kichwani .... kukosa kumbukumbu ya waasisi wa haya majinaVichwa havijawekwa kubeba nywele TU.