FT: Ligi Kuu: Yanga 3-0 Coastal Union, Uwanja wa Mkapa, 20/12/2022

FT: Ligi Kuu: Yanga 3-0 Coastal Union, Uwanja wa Mkapa, 20/12/2022

Hivi inakuwaje tmu zote za hapa nchini zikicheza na Yanga zinakaa nyuma ya mpila ila zikicheza na Simba zinafunguka?? Ina maana huwa haziihofii Simba?
Yanga wanatumia uchawi wa Bumbuwazi mkuu, wachezaji wa timu pinzani wanakuwa hawajitambui vizuri.
 
Penalty ya wazi sana ila ndo vile mwamuzi anabahasha asingeweza kuruhusu.

Kuna wakati aucho alicheza hovyo akaanguka halafu mpira upo kwenye move ya hatari ikabidi mwamuzi apige filimbi kuua move ili kuwaokoa.Ni kawaida tulishazoea
Ukiona wanaonewa wengine, leta timu yako uwanjani alafu uwe refa uone kama Kolo atatoka
 
Penalty ya wazi sana ila ndo vile mwamuzi anabahasha asingeweza kuruhusu.

Kuna wakati aucho alicheza hovyo akaanguka halafu mpira upo kwenye move ya hatari ikabidi mwamuzi apige filimbi kuua move ili kuwaokoa.Ni kawaida tulishazoea

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hivi mkuu Huwa unaumizwa sana na ushindi wa Yanga?
Halafu Kila mechi ya Yanga unaangalia si utakufa Kwa masononeko mzee mwenzangu..
Mpira ni mchezo wa furaha hebu Achana na hizi chuki ulizonazo Kwa Yanga
 
Yanga noma hata makolo wanajuwa yaani wamepiga hadi dogo la makolo mayele noma sana hata makolo aliwapiga mbili piaaa.
 
Back
Top Bottom