FT: Ligi Kuu: Yanga S.C 1-0 Ruvu Shooting: Uwanja wa Mkapa, 23/01/2023

Utopolo Ni dhaifu mno. Wanakisanya points kwa kubahatisha bahatisha tu.

Hawa jamaa tuliwabugiza 4-0... tena wakiwa na Kocha mwanachama wa Uto
 
Kuna timu shirikisho itatiwa aibu Muda ni mwalimu mzuri.
 
Wachezaji wetu,fea plei ni muhimu,sijapenda kabisa......Azizi K......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…