izo saikolojia za mo arenaUnadhani mpira wa Sasa Kuna habari za mechi ya nyumbani? Uko mkiani unasema kutoboa?
Saikolojia ya washindani wako ni kwamba wewe ndio unaonekana kibonde na underdog so wanakukomalia.
Nyie endeleeni na ulimbukeni wenu..kama hujawai fungwa 5 na mnyama basi endelea kuhangaika...6 kwa 0...4 kama zote...tangu nishinde mkono nakunywa maji tu na mabadiriko ya mwili nayaona
ntapiga kesho tena baada ya mechi yako unikumbusheNyie endeleeni na ulimbukeni wenu..kama hujawai fungwa 5 na mnyama basi endelea kuhangaika...6 kwa 0...4 kama zote...
Piga tena funda la maji mtani...
Sasa ndio umeongea nini? Mo anahusikaje? Si wanakuja Dar mwisho wa mwezi tutaonaizo saikolojia za mo arena
city na ubabe wake ana kandwa na timu zinazo buruza mkia
CC: wanasupu fc woteSawa kumbuka Al Ahly naye anasubiria mwali wake Misri ajipigie.
Hivi ana hasira, sidhani kama mtabaki salama na mpira wenu wa kukimbia kimbia kama mnacheza ligi ya bongo.
- Tanzania unafunga timu mpk 5-1 ila Champion ukachezea 3-0.
- Umechukua makombe mara nyingi kuliko Simba ila kuingia makundi ya champion league umetumia miaka 25. Inasikitisha
- Kama umeifunga Simba magoli 5 umeweka mpk picha mnajipiga sasa ingekuwaje kama mgeifunga Al Ahly 5-1? Ingekuwa mapumziko na kufanya sherehe wiki nzima.
Hahaa mmekubali timu lenu bovu eeh haya tutawaona, kesho si mbali😀Hata tukipigwa 10, 🤣🤣🤣, mmeshasema tuna timu mbovu
Safarii hi waafriac wawili tunPetAYanga kwenye mechi zilizosalia ana uhakika wa points 4 tu which makes 6 points in total....Belouzidad hawezi kumuacha Medeama Uarabuni maana yake atakuwa na saba, Al Ahly usimuweke hapo, anacheza kwenye dunia yake mwenyewe
Basi ngoja turudi kule misri bi dada.... 🤣 🤣 🤣Ila Madeama haina hata wakaka wazuri sijapenda kabisa, kuna team zina wachezaji wazuri umefungwa unaumia lakini unaendelea kutazama zile 'vifaa' kwa kupunguza machungu..!!😌
Ndio tnajuwa Ni cafcl Sasa shida iko wapiHii ni Champion League na siyo confederation.
Unakumbuka msuli wa beka wa kizanzibar? Hakusaidia
Hata Algeria mlisema hivyo hivyo mkafa 3-0.
Haha kweli hata lile goli la 2 ni goli halali. Hakukua na offside. Poleni utopwinho nafasi ya mkia iliwapenda zaidi.Liarabu hili refa ni lipuuzi. Ndio maana Wayahudi wanayagonga pale Gaza. Ukiuliza Max kapewa Kadi kwa Kosa gani? Jamaa limeinua Kiatu kabisa na pia dhamira yake ilikuwa kuumiza ila refa kanyamaza.