zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
izo saikolojia za mo arenaUnadhani mpira wa Sasa Kuna habari za mechi ya nyumbani? Uko mkiani unasema kutoboa?
Saikolojia ya washindani wako ni kwamba wewe ndio unaonekana kibonde na underdog so wanakukomalia.
city na ubabe wake ana kandwa na timu zinazo buruza mkia