Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mshakalia2-0 ft hapo baadae
lakini situlikubalia kuwa gamond ni genious!Gamond asipobadilisha mbinu, magoli yatakuwa mengi leo, timu haina balansi. Unacheza na mabeki watatu huku kiungo anacheza Aucho peke yake.
Kikosi kipanaSie lengo ilikuwa kuchezea makundi tu, hata tukifungwa mechi zote hakuna shida.
unajua tunaumia lakini malipo ni hapa hapaMidomo mnooo yani mna mdomo mnoo...oohh tutawapiga nje ndani....yani wao wamelala??
Ni kawaida ya yanga kushikilia mkia!!yanga asipomaliza ilikundi mkiani sijui