Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado upo mkiani na 5 zako Uto wahed 😁Tano tumewapiga nyie wake zetu. Kutoka mkiani tunawaachie nyie ila 5 mlikula kwa Mkapa. Au kama mnabisha, mechi irudiwe hata leo baada ya game hii ya Medeam ikiisha.
Nyie ndo wajinga mlitaka kuchoma uwanja south afrika vs orlando piratesSema yanga, acha kuijumuisha Afrika kwenye ujinga wenu.
ila bado ana nafas ya kufuzu japo yuko mkianiYanga ana point 2 na msimamo utabaki kuwa vile vile kama ulivyokuwa
Yani pamoja na kuwa na point hizo mbili bado Yanga atakuwa mkiani
Ndio maana huyu mwarabu alikuwa anawabeba Mediama kwa kuwa waarabu wenzake wamedraw huko.Al ahly kudraw means njia ni nyeupe kwa waarabu wawili kuvuka kundi
Njoo hapa na buku 10 langu 🤣🤣😄, hatimaye nimeshinda BetUnahisi tutafunga milango ama? Ni magoli subirii au tuwekeane dau? Tukifunga utanilipa buku 10 eeh?
Ahly lazima afuzu na aongoze Kundi.hakuna mzg, wote wanabaki na nafasi ya kufuzu
DiarraMan of the match ni Kibabage Leo.
Sare ugenini, nyumbani tunamaliza kazi.
Well done team [emoji1433][emoji1433]
Kuhama hapo ni mwiko 😂😂Utopwinho anaendelea kushikilia nafasi yake pendwa katika kundi.
Sawa lakini tumewalamba Goli 5 a.k.a Mkono wa Nyani.Bado upo mkiani na 5 zako Uto wahed 😁
Na mtabaki hapo hadi mwisho 😂😂
mechi zinazo fuata ndio zitaamua nani n nanAhly lazima afuzu na aongoze Kundi.
Ilikuwa Ni yanga Vs CR, ambapo CR kaokota point away.
Amefidia kufungwa na medeama.
Yanga kwenye mechi zilizosalia ana uhakika wa points 4 tu which makes 6 points in total....Belouzidad hawezi kumuacha Medeama Uarabuni maana yake atakuwa na saba, Al Ahly usimuweke hapo, anacheza kwenye dunia yake mwenyewenjia nyeupe vipi hapo bado
Hii ni Champion League na siyo confederation.Sare ugenini, nyumbani tunamaliza kazi.
Well done team 👏🏽👏🏽
Medeama nao wamepata nafasi kama ile na wameshindwa kuitumia.Sema yanga, acha kuijumuisha Afrika kwenye ujinga wenu.