Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchi labdahii mechi tunashinda 3-1
Visingizio vimeanza.....Si mlisema Madeama ni vibonde kwamba mtampiga nje ndani ..Ni kundi pekee lililokutanisha mabingwa watupu wa Misri, Algeria, Tanzania na Ghana. Hakuna mshindi wa pili hapo...
Nakupenda mtani...dear Kalpana, kesho nitakusalimia vyema mpendwa wangu..!!😂
tangu nishinde mkono nakunywa maji tu na mabadiriko ya mwili nayaonaTuliza moyo kunywa maji..
Na ndio maana wameweka kambi ya kudumu mkianinathikia uto kilichowaponza za chini ya kapet ni kupenda kwao supu ya mkia
Unadhani mpira wa Sasa Kuna habari za mechi ya nyumbani? Uko mkiani unasema kutoboa?ngumu ila itatoboa
bado tunajiuliza kachomokaje, japo refa alikuwa na u kayoko sanaVisingizio vimeanza.....Si mlisema Madeama ni vibonde kwamba mtampiga nje ndani ..
Topolo ni topolo tuu
Bado mnawadharau ehh???Hawa jamaa hapa kwa Mkapa wa kuchukua point tatu.
😂😂😂Nakupenda mtani...
Kesho hunioni humu na vile mechi saa nne nikiona mambo yameenda mrama hunioniiiiiii
sana hasa akikutana na bingwa wa nchi jirani, ila akamate nyau anaikanda balaaaYanga ya kawaida sana
Sawa kumbuka Al Ahly naye anasubiria mwali wake Misri ajipigie.Sasa tuka pumzike tumsubiri mwali wa Mwarabu kesho .Mwarabu kapania
Si mdharau, timu hata kutengeneza mashambulizi haijui. Wewe wasubirie waarabu kesho......... na wakija Dar uende uwanjani maana hamchelewi kususa.Bado mnawadharau ehh???
Hata tukipigwa 10, 🤣🤣🤣, mmeshasema tuna timu mbovuHahaaa mtanii haya tutakuona kesho pia utakavyofungwa 5 tena 😀😀